11 Kwa sababu ya taabu ya nafsi yake yeye ataona,+ atatosheka.+ Kupitia ujuzi wake mtu mwadilifu, mtumishi wangu,+ atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu;+ naye mwenyewe atayachukua makosa yao.+
18 Kwa hiyo, basi, kama vile kupitia kosa moja matokeo kwa watu wa namna zote yalikuwa kuhukumiwa hatia,+ vivyo hivyo pia kupitia tendo moja la kutetewa kuwa haki+ matokeo kwa watu wa namna zote+ ni wao kutangazwa kuwa waadilifu kwa ajili ya uzima.+