Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 ili wote wapate kumheshimu Mwana+ kama vile wanavyomheshimu Baba. Yule ambaye hamheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.+

  • Matendo 2:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa hiyo kwa sababu aliinuliwa kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na kupokea roho takatifu iliyoahidiwa kutoka kwa Baba,+ amemimina hiki ambacho ninyi mnakiona na kukisikia.

  • Matendo 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba+ na msamaha wa dhambi.+

  • Wafilipi 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa sababu hii pia Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu ya kila jina lingine,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki