Yohana 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 ili wote wapate kumheshimu Mwana+ kama vile wanavyomheshimu Baba. Yule ambaye hamheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.+ Matendo 2:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo kwa sababu aliinuliwa kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na kupokea roho takatifu iliyoahidiwa kutoka kwa Baba,+ amemimina hiki ambacho ninyi mnakiona na kukisikia. Matendo 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba+ na msamaha wa dhambi.+ Wafilipi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu hii pia Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu ya kila jina lingine,+
23 ili wote wapate kumheshimu Mwana+ kama vile wanavyomheshimu Baba. Yule ambaye hamheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.+
33 Kwa hiyo kwa sababu aliinuliwa kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na kupokea roho takatifu iliyoahidiwa kutoka kwa Baba,+ amemimina hiki ambacho ninyi mnakiona na kukisikia.
31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba+ na msamaha wa dhambi.+
9 Kwa sababu hii pia Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu ya kila jina lingine,+