Isaya 53:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu ya taabu ya nafsi yake yeye ataona,+ atatosheka.+ Kupitia ujuzi wake mtu mwadilifu, mtumishi wangu,+ atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu;+ naye mwenyewe atayachukua makosa yao.+ Luka 24:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 na kwa msingi wa jina lake toba kwa msamaha wa dhambi+ ingehubiriwa katika mataifa yote+—kuanzia Yerusalemu,+ Matendo 10:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kwake yeye manabii wote hutoa ushahidi,+ kwamba kila mtu anayemwamini hupata msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”+ Matendo 13:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Kwa hiyo acheni ijulikane kwenu, akina ndugu, kwamba kupitia Huyo msamaha wa dhambi unatangazwa kwenu;+
11 Kwa sababu ya taabu ya nafsi yake yeye ataona,+ atatosheka.+ Kupitia ujuzi wake mtu mwadilifu, mtumishi wangu,+ atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu;+ naye mwenyewe atayachukua makosa yao.+
47 na kwa msingi wa jina lake toba kwa msamaha wa dhambi+ ingehubiriwa katika mataifa yote+—kuanzia Yerusalemu,+
43 Kwake yeye manabii wote hutoa ushahidi,+ kwamba kila mtu anayemwamini hupata msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”+
38 “Kwa hiyo acheni ijulikane kwenu, akina ndugu, kwamba kupitia Huyo msamaha wa dhambi unatangazwa kwenu;+