Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kupitia kwa uzao wako+ mataifa yote ya dunia hakika yatajibariki kwa sababu wewe umeisikiliza sauti yangu.’”+

  • 1 Wakorintho 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi ikiwa Kristo anahubiriwa kwamba amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ kwa nini wengine kati yenu wanasema hakuna ufufuo wa wafu?+

  • Wagalatia 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kusudi lilikuwa kwamba baraka ya Abrahamu ije kupitia Yesu Kristo kwa ajili ya mataifa,+ ili tuipokee roho iliyoahidiwa+ kupitia imani yetu.+

  • 1 Timotheo 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa kweli, ni jambo lenye kukubalika kwamba siri takatifu+ ya huu ujitoaji-kimungu ni kubwa: ‘Yeye alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa kuwa mwadilifu katika roho,+ alionekana kwa malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ aliaminiwa katika ulimwengu,+ alipokewa juu katika utukufu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki