9 Basi, je, furaha hiyo huja juu ya watu waliotahiriwa au pia juu ya watu wasiotahiriwa?+ Kwa maana tunasema: “Imani yake ilihesabiwa kwa Abrahamu kuwa ni uadilifu.”+
15 Kwa njia ya mwili wake+ aliufuta uadui,+ ile Sheria ya amri zilizofanyizwa kwa maagizo,+ ili aumbe vile vikundi viwili vya watu+ katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya+ na kufanya amani;