Mathayo 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Siku hiyo Masadukayo, wale ambao husema hakuna ufufuo, wakamjia na kumuuliza:+ Matendo 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kwa nini mnaamua kwamba ni jambo lisiloaminika kwamba Mungu hufufua wafu?+