35 Kisha akaanza kutembea tena ndani ya nyumba, mara moja huku mara moja kule, halafu akaenda juu, akainama juu yake. Na yule mvulana akaanza kupiga chafya mara saba, kisha mvulana huyo akafungua macho yake.+
35 Wanawake waliwapokea wafu wao kwa ufufuo;+ lakini watu wengine waliteswa kwa sababu hawakukubali kuachiliwa huru kupitia fidia fulani, ili waupate ufufuo ulio bora.