Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alikuwa amemfufua mwana wake,+ na kusema: “Ondoka uende, wewe pamoja na nyumba yako, ukae ugenini popote unapoweza kukaa ugenini;+ kwa kuwa Yehova ametangaza kuwe na njaa,+ na zaidi ya hayo, itakuja juu ya nchi kwa miaka saba.”+

  • 2 Wafalme 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na ikawa kwamba alipokuwa akimsimulia mfalme jinsi alivyokuwa amemfufua mtu aliyekufa,+ tazama, yule mwanamke aliyekuwa amemfufulia mwana wake alikuwa akimlilia mfalme kwa ajili ya nyumba yake na kwa ajili ya shamba+ lake. Mara moja Gehazi akasema: “Bwana+ wangu mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mwana wake ambaye Elisha alimfufua.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki