Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nitakivunja kiburi cha nguvu zenu na kuzifanya mbingu zenu ziwe kama chuma+ na nchi yenu iwe kama shaba.

  • Kumbukumbu la Torati 28:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Anga zako zilizo juu ya kichwa chako pia zitakuwa shaba, na nchi iliyo chini yako itakuwa chuma.+

  • 2 Samweli 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi kukawa na njaa+ katika siku za Daudi kwa miaka mitatu, mwaka baada ya mwaka; naye Daudi akatafuta shauri mbele za uso wa Yehova. Kisha Yehova akasema: “Kuna hatia ya damu juu ya Sauli na juu ya nyumba yake, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”+

  • 1 Wafalme 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Eliya+ Mtishbi kutoka kwa wakaaji wa Gileadi+ akamwambia Ahabu: “Kama anavyoishi+ Yehova Mungu wa Israeli, ambaye ninasimama mbele zake,+ miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua,+ isipokuwa kwa agizo la neno langu!”+

  • Zaburi 105:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye akaitisha njaa juu ya nchi;+

      Alivunja kila fimbo ambayo mikate ya mviringo ilining’inizwa juu yake.+

  • Matendo 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mmoja kati yao anayeitwa jina Agabo+ akasimama na kuonyesha kupitia roho kwamba njaa kali ilikuwa karibu kuja juu ya dunia nzima inayokaliwa;+ ambayo, kama ilivyo, ilitukia wakati wa Klaudio.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki