21Basi kukawa na njaa+ katika siku za Daudi kwa miaka mitatu, mwaka baada ya mwaka; naye Daudi akatafuta shauri mbele za uso wa Yehova. Kisha Yehova akasema: “Kuna hatia ya damu juu ya Sauli na juu ya nyumba yake, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”+
17Na Eliya+ Mtishbi kutoka kwa wakaaji wa Gileadi+ akamwambia Ahabu: “Kama anavyoishi+ Yehova Mungu wa Israeli, ambaye ninasimama mbele zake,+ miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua,+ isipokuwa kwa agizo la neno langu!”+
28 Mmoja kati yao anayeitwa jina Agabo+ akasimama na kuonyesha kupitia roho kwamba njaa kali ilikuwa karibu kuja juu ya dunia nzima inayokaliwa;+ ambayo, kama ilivyo, ilitukia wakati wa Klaudio.