22 Je, kati ya sanamu za ubatili+ za mataifa kuna yoyote inayoweza kunyesha mvua, au, je, hata mbingu zinaweza kutoa manyunyu?+ Je, si Wewe, Ee Yehova Mungu wetu?+ Nasi tunakutumaini wewe, kwa maana wewe mwenyewe umeyatenda mambo hayo yote.+
25 Kwa mfano, kwa kweli ninawaambia ninyi, Kulikuwa na wajane wengi katika Israeli siku za Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita, hivi kwamba njaa kubwa ikatokea katika nchi yote,+
17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu,+ na bado katika sala alisali mvua isinyeshe;+ na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na miezi sita.