Zaburi 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia, hakuna yeyote kati ya wale wanaokutumainia atakayeona aibu.+Wale wanaotenda kwa hila bila kupata mafanikio wataona aibu.+ Zaburi 130:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nimetumainia, Ee Yehova, nafsi yangu imetumainia,+Nalo neno lake nimelingojea.+
3 Pia, hakuna yeyote kati ya wale wanaokutumainia atakayeona aibu.+Wale wanaotenda kwa hila bila kupata mafanikio wataona aibu.+