Zaburi 31:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ee Yehova, nisiaibike, kwa maana nimekuita wewe.+Waovu na waaibike;+Na wakae kimya katika Kaburi.*+ Zaburi 71:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hao na waaibike, hao na wafikie mwisho wao, wanaoshindana na nafsi yangu.+Hao na wajifunike kwa shutuma na fedheha wanaonitafutia msiba.+
17 Ee Yehova, nisiaibike, kwa maana nimekuita wewe.+Waovu na waaibike;+Na wakae kimya katika Kaburi.*+
13 Hao na waaibike, hao na wafikie mwisho wao, wanaoshindana na nafsi yangu.+Hao na wajifunike kwa shutuma na fedheha wanaonitafutia msiba.+