Zaburi 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Mungu wangu, nimekutegemea wewe;+Ee nisione aibu.Adui zangu na wasishangilie juu yangu.+ Zaburi 69:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wale wanaokutumainia na wasione aibu kwa sababu yangu,+Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi.+Wale wanaokutafuta na wasifedheheshwe kwa sababu yangu,+Ee Mungu wa Israeli.+ Isaya 50:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe atanisaidia.+ Ndiyo sababu sitalazimika kufedheheka. Ndiyo sababu nimeufanya uso wangu kama jiwe, nami najua kwamba sitatiwa aibu.+ Mathayo 27:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Karibu saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa, akisema: “Eli, Eli, lama sabakthani?” yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+
6 Wale wanaokutumainia na wasione aibu kwa sababu yangu,+Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi.+Wale wanaokutafuta na wasifedheheshwe kwa sababu yangu,+Ee Mungu wa Israeli.+
7 Lakini Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe atanisaidia.+ Ndiyo sababu sitalazimika kufedheheka. Ndiyo sababu nimeufanya uso wangu kama jiwe, nami najua kwamba sitatiwa aibu.+
46 Karibu saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa, akisema: “Eli, Eli, lama sabakthani?” yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+