Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ee Mungu wangu, nimekutegemea wewe;+

      Ee nisione aibu.

      Adui zangu na wasishangilie juu yangu.+

  • Zaburi 69:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Wale wanaokutumainia na wasione aibu kwa sababu yangu,+

      Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi.+

      Wale wanaokutafuta na wasifedheheshwe kwa sababu yangu,+

      Ee Mungu wa Israeli.+

  • Isaya 50:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe atanisaidia.+ Ndiyo sababu sitalazimika kufedheheka. Ndiyo sababu nimeufanya uso wangu kama jiwe, nami najua kwamba sitatiwa aibu.+

  • Mathayo 27:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Karibu saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa, akisema: “Eli, Eli, lama sabakthani?” yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki