Zaburi 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia, hakuna yeyote kati ya wale wanaokutumainia atakayeona aibu.+Wale wanaotenda kwa hila bila kupata mafanikio wataona aibu.+ Zaburi 35:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+
3 Pia, hakuna yeyote kati ya wale wanaokutumainia atakayeona aibu.+Wale wanaotenda kwa hila bila kupata mafanikio wataona aibu.+
26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+