Isaya 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwelekeo ambao umetegemezwa vema utaulinda katika amani ya kudumu,+ kwa sababu huyo hufanywa akutegemee wewe.+ Waroma 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Andiko linasema: “Yeyote anayemwamini+ hatakata tamaa.”+
3 Mwelekeo ambao umetegemezwa vema utaulinda katika amani ya kudumu,+ kwa sababu huyo hufanywa akutegemee wewe.+