Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:165
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi,+

      Na hakuna kitu cha kuwakwaza.+

  • Isaya 54:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+

  • Yohana 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ninawaachia ninyi amani, ninawapa amani+ yangu. Siwapi ninyi hiyo kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa.

  • Waroma 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Mungu anayetoa amani na awe pamoja nanyi nyote.+ Amina.

  • Wafilipi 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 na amani+ ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo+ yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu.

  • 2 Petro 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na mwongezewe fadhili zisizostahiliwa na amani+ kwa ujuzi sahihi+ juu ya Mungu na juu ya Yesu Bwana wetu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki