Zaburi 119:165 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi,+Na hakuna kitu cha kuwakwaza.+ Isaya 54:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+ Yohana 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ninawaachia ninyi amani, ninawapa amani+ yangu. Siwapi ninyi hiyo kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa. Waroma 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mungu anayetoa amani na awe pamoja nanyi nyote.+ Amina. Wafilipi 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na amani+ ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo+ yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu. 2 Petro 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na mwongezewe fadhili zisizostahiliwa na amani+ kwa ujuzi sahihi+ juu ya Mungu na juu ya Yesu Bwana wetu,
13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+
27 Ninawaachia ninyi amani, ninawapa amani+ yangu. Siwapi ninyi hiyo kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa.
7 na amani+ ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo+ yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu.
2 Na mwongezewe fadhili zisizostahiliwa na amani+ kwa ujuzi sahihi+ juu ya Mungu na juu ya Yesu Bwana wetu,