Zaburi 72:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+ Matendo 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mungu wa watu hawa Israeli aliwachagua mababu zetu, naye akawainua watu hao walipokuwa wakikaa katika nchi ya kigeni katika nchi ya Misri na kuwatoa katika hiyo kwa mkono ulioinuliwa.+
17 Mungu wa watu hawa Israeli aliwachagua mababu zetu, naye akawainua watu hao walipokuwa wakikaa katika nchi ya kigeni katika nchi ya Misri na kuwatoa katika hiyo kwa mkono ulioinuliwa.+