Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Kwa hiyo waambie wana wa Israeli, ‘Mimi ni Yehova, nami hakika nitawatoa chini ya mizigo ya Wamisri na kuwakomboa kutoka katika utumwa wao,+ nami kwa kweli nitawaokoa ninyi kwa mkono ulionyooshwa na kwa hukumu kubwa.+

  • Kutoka 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi Yehova akauacha moyo wa Farao mfalme wa Misri uwe mkaidi,+ naye akawafuatilia wana wa Israeli, huku wana wa Israeli wakienda kwa mkono ulioinuliwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki