2 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu+ kwa Yehova Mungu wenu, naye Yehova amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee,+ kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.
3 Israeli alikuwa kitu kitakatifu kwa Yehova,+ zao la kwanza kwake Yeye.”’+ ‘Watu wowote waliomrarua walikuwa wakijiingiza katika hatia.+ Msiba ulikuwa ukija juu yao,’ alisema Yehova.”+