Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na ninyi wenyewe mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia wana wa Israeli.”

  • Mambo ya Walawi 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+

  • Mambo ya Walawi 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nanyi mtakuwa watakatifu kwangu,+ kwa sababu mimi Yehova ni mtakatifu;+ nami ninawatenga kutoka kwa vikundi vya watu ili muwe wangu.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova atakuweka kuwa kikundi chake kitakatifu cha watu,+ kama vile alivyokuapia,+ kwa sababu uliendelea kushika amri+ za Yehova Mungu wako, nawe umetembea katika njia zake.

  • Ezra 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana wamekubali baadhi ya binti zao kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya wana wao;+ nao, ule uzao mtakatifu,+ wamechanganyika+ na vikundi vya watu wa nchi, na mkono wa wakuu na watawala-wasaidizi umekuwa wa kwanza+ kabisa katika ukosefu huu wa uaminifu.”

  • 1 Petro 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki