Nehemia 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi ikawa kwamba, mara waliposikia sheria hiyo,+ wakaanza kutenga+ kutoka katika Israeli ile jamii yote iliyochangamana. 2 Wakorintho 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+
3 Basi ikawa kwamba, mara waliposikia sheria hiyo,+ wakaanza kutenga+ kutoka katika Israeli ile jamii yote iliyochangamana.
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+