Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 119:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nitajishughulisha na maagizo yako,+Nami nitayatazama mapito yako.+ Methali 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+ na sheria ni nuru,+ nayo makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima,+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+