47 nao warudiwe na fahamu zao katika nchi ile ambayo wamechukuliwa mateka,+ nao hakika warudi+ na kutoa kwako ombi+ la kutaka kibali katika nchi ya watekaji wao,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi+ na kukosea,+ tumetenda uovu’;+
15 naye mwovu arudishe kitu kile kilichowekwa rehani,+ alipe vitu vile vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi,+ naye kwa kweli atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda ukosefu wa haki,+ hakika ataendelea kuishi.+ Yeye hatakufa.