Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Labda Yehova ataona+ kwa jicho lake, na Yehova atanirudishia wema badala ya laana yake leo hii.”+

  • 1 Wafalme 8:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 nao warudiwe na fahamu zao katika nchi ile ambayo wamechukuliwa mateka,+ nao hakika warudi+ na kutoa kwako ombi+ la kutaka kibali katika nchi ya watekaji wao,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi+ na kukosea,+ tumetenda uovu’;+

  • Zaburi 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Anaiburudisha nafsi yangu.+

      Ananiongoza katika mapito ya uadilifu kwa ajili ya jina lake.+

  • Ezekieli 18:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “ ‘Na mwovu anapogeuka na kuuacha uovu wake ambao ameutenda naye atende haki na uadilifu,+ yeye ndiye atakayeihifadhi hai nafsi yake mwenyewe.+

  • Ezekieli 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 naye mwovu arudishe kitu kile kilichowekwa rehani,+ alipe vitu vile vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi,+ naye kwa kweli atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda ukosefu wa haki,+ hakika ataendelea kuishi.+ Yeye hatakufa.

  • Waroma 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki