Zaburi
Muziki wa Daudi.
2 Ananilaza katika malisho yenye majani mengi;+
Ananiongoza kando ya mahali pa kupumzika palipo na maji ya kutosha.+
4 Hata ingawa ninatembea katika bonde lenye kivuli kizito,+
Siogopi chochote kibaya,+
Kwa maana wewe uko pamoja nami;+
Fimbo yako na gongo lako ndivyo vitu vinavyonifariji.+