Kutoka 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Ukichukua vazi la mwenzako kuwa rehani,+ yakupasa ulirudishe kwake wakati wa kutua kwa jua. Ezekieli 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 wala hakumtendea vibaya mtu yeyote;+ rehani aliyotwaa kwa ajili ya deni, alikuwa akiirudisha;+ hakuwa akinyakua chochote kwa unyang’anyi;+ mkate wake mwenyewe alikuwa akimpa mwenye njaa+ na alikuwa akimvika vazi aliye uchi;+
7 wala hakumtendea vibaya mtu yeyote;+ rehani aliyotwaa kwa ajili ya deni, alikuwa akiirudisha;+ hakuwa akinyakua chochote kwa unyang’anyi;+ mkate wake mwenyewe alikuwa akimpa mwenye njaa+ na alikuwa akimvika vazi aliye uchi;+