Isaya 58:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+ Mathayo 25:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 nilikuwa uchi,+ nanyi mkanivika. Nilishikwa na ugonjwa nanyi mkanitunza. Nilikuwa gerezani+ nanyi mkanijia.’ Yakobo 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ikiwa ndugu au dada yuko uchi naye hana chakula cha kutosha kwa ajili ya siku,+
7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+
36 nilikuwa uchi,+ nanyi mkanivika. Nilishikwa na ugonjwa nanyi mkanitunza. Nilikuwa gerezani+ nanyi mkanijia.’