Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha watu waliochaguliwa kwa majina+ yao wakasimama na kuwachukua wale mateka, na wote waliokuwa uchi wakawavika nguo kutokana na zile nyara. Basi wakawavika+ na kuwapa viatu, wakawalisha+ na kuwapa vinywaji+ na kuwapaka mafuta. Tena, kuhusu wowote wenye kutetemeka, wakawasafirisha+ juu ya punda na kuwaleta Yeriko,+ jiji la mitende,+ kando ya ndugu zao. Kisha wakarudi Samaria.+

  • Ezekieli 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 wala hakumtendea vibaya mtu yeyote;+ rehani aliyotwaa kwa ajili ya deni, alikuwa akiirudisha;+ hakuwa akinyakua chochote kwa unyang’anyi;+ mkate wake mwenyewe alikuwa akimpa mwenye njaa+ na alikuwa akimvika vazi aliye uchi;+

  • Mathayo 25:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 nilikuwa uchi,+ nanyi mkanivika. Nilishikwa na ugonjwa nanyi mkanitunza. Nilikuwa gerezani+ nanyi mkanijia.’

  • Yakobo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ikiwa ndugu au dada yuko uchi naye hana chakula cha kutosha kwa ajili ya siku,+

  • 1 Yohana 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini yeyote aliye na riziki ya ulimwengu huu+ naye amwone ndugu yake akiwa na uhitaji+ na bado amfungie mlango wa huruma zake nyororo,+ ni katika njia gani kumpenda Mungu hukaa ndani yake?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki