Kumbukumbu la Torati 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Unapomaliza kutoa zaka ya sehemu yote ya kumi+ ya mazao yako katika mwaka wa tatu,+ mwaka wa sehemu ya kumi, utampa Mlawi pia, mkaaji mgeni, mvulana asiye na baba na mjane, nao wataila ndani ya malango yako na kujishibisha.+ Waroma 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+
12 “Unapomaliza kutoa zaka ya sehemu yote ya kumi+ ya mazao yako katika mwaka wa tatu,+ mwaka wa sehemu ya kumi, utampa Mlawi pia, mkaaji mgeni, mvulana asiye na baba na mjane, nao wataila ndani ya malango yako na kujishibisha.+
13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+