Kumbukumbu la Torati 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+ Kumbukumbu la Torati 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Lazima utatoa sehemu ya kumi ya mazao yako yote ya mbegu yako, yanayotoka shambani mwaka baada ya mwaka.+
6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+
22 “Lazima utatoa sehemu ya kumi ya mazao yako yote ya mbegu yako, yanayotoka shambani mwaka baada ya mwaka.+