7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+
20 Yeyote akisema: “Mimi nampenda Mungu,” na bado anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo.+ Kwa maana yeye ambaye hampendi ndugu yake,+ ambaye amemwona, hawezi kuwa anampenda Mungu, ambaye hajamwona.+