Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 41:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+

      Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+

  • Zaburi 112:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+

      צ [Tsa·dhehʹ]

      Uadilifu wake unasimama milele.+

      ק [Qohph]

      Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+

  • Methali 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, kwa maana amempa mtu wa hali ya chini chakula chake.+

  • Mhubiri 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tupa mkate+ wako juu ya uso wa maji,+ kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.+

  • Ezekieli 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 wala hakumtendea vibaya mtu yeyote;+ rehani aliyotwaa kwa ajili ya deni, alikuwa akiirudisha;+ hakuwa akinyakua chochote kwa unyang’anyi;+ mkate wake mwenyewe alikuwa akimpa mwenye njaa+ na alikuwa akimvika vazi aliye uchi;+

  • Mathayo 25:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa maana nilikuwa mwenye njaa nanyi mkanipa chakula;+ nilikuwa na kiu nanyi mkanipa kinywaji. Nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki