1 Samweli 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Hana akasali+ na kusema:“Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+ Zaburi 75:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Na pembe zote za waovu nitazikata.”+Pembe za mwadilifu zitainuliwa.+ Zaburi 92:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini wewe utaiinua pembe yangu kama ile ya ng’ombe-mwitu;+Nitajipaka mafuta mapya.+
2 Naye Hana akasali+ na kusema:“Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+