Zaburi 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitamwimbia Yehova, kwa maana amenitendea kwa njia ya kunipa thawabu.+ Luka 1:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye Maria akasema: “Nafsi yangu inamtukuza Yehova,+ Waroma 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na si hilo tu, bali pia tunafurahi katika Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye sasa tumepokea huo upatanisho.+
11 Na si hilo tu, bali pia tunafurahi katika Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye sasa tumepokea huo upatanisho.+