Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kama mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume ndivyo fahari yake ilivyo,+

      Na pembe zake ni pembe za ng’ombe-dume wa mwituni.+

      Atasukuma vikundi vya watu kwa pembe hizo+

      Wote pamoja mpaka miisho ya dunia,

      Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu,+

      Nao ni maelfu ya Manase.”

  • 1 Samweli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye Hana akasali+ na kusema:

      “Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+

      Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+

      Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,

      Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+

  • Zaburi 89:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na uaminifu wangu na fadhili zangu zenye upendo ziko pamoja naye,+

      Na katika jina langu pembe yake imeinuliwa.+

  • Zaburi 112:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+

      צ [Tsa·dhehʹ]

      Uadilifu wake unasimama milele.+

      ק [Qohph]

      Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki