13 Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake,+ na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu;+ na fadhili zangu zenye upendo sitaziondoa kwake+ kama vile nilivyoziondoa kwa yule aliyekutangulia.+
34 Na jambo hilo la kwamba yeye alimfufua kutoka kwa wafu akikusudiwa asirudi tena kwenye uharibifu, yeye amelisema katika njia hii, ‘Nitawapa ninyi fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.’+