2 Samweli 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+ Zaburi 41:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami, umenitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu,+Nawe utaniweka mbele za uso wako mpaka wakati usio na kipimo.+
16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+
12 Nami, umenitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu,+Nawe utaniweka mbele za uso wako mpaka wakati usio na kipimo.+