Ayubu 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi+ ambaye jina lake lilikuwa Ayubu;+ na mtu huyo alikuwa asiye na lawama+ na mnyoofu,+ na mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya.+ Zaburi 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Utimilifu na unyoofu na zinilinde,+Kwa maana nimekutumainia wewe.+ Methali 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye atawawekea wanyoofu hazina ya hekima inayotumika;+ yeye ni ngao kwa wale wanaotembea kwa utimilifu,+ Methali 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+ lakini wale wanaozoea kutenda mambo yenye kuumiza wataharibiwa.+
1 Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi+ ambaye jina lake lilikuwa Ayubu;+ na mtu huyo alikuwa asiye na lawama+ na mnyoofu,+ na mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya.+
7 Naye atawawekea wanyoofu hazina ya hekima inayotumika;+ yeye ni ngao kwa wale wanaotembea kwa utimilifu,+
29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+ lakini wale wanaozoea kutenda mambo yenye kuumiza wataharibiwa.+