Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Je, hakuna msiba kwa mkosaji,+

      Na maafa kwa wale wanaozoea kufanya madhara?

  • Zaburi 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana Yehova anaijua njia ya waadilifu,+

      Bali njia ya waovu itaangamia.+

  • Luka 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini atasema na kuwaambia ninyi, ‘Sijui mnatoka wapi. Ondokeni kwangu, ninyi nyote mnaotenda ukosefu wa uadilifu!’+

  • Waroma 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 hata hivyo, kwa wale wenye ugomvi+ na wale wasioitii kweli+ bali hutii ukosefu wa uadilifu kutakuwa na ghadhabu na hasira,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki