3 Nawe, Ee Yehova, unanijua mimi vema;+ unaniona, nawe umeuchunguza moyo wangu katika muungano na wewe.+ Waweke peke yao kama kondoo wa kuchinjwa,+ na kuwatenga kwa ajili ya siku ya kuuawa.
19 Hata hivyo, msingi imara wa Mungu unakaa ukiwa umesimama,+ ukiwa na muhuri huu: “Yehova anawajua walio wake,”+ na: “Kila mtu anayelitaja jina la Yehova+ na aukatae ukosefu wa uadilifu.”+
12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+