Zaburi 73:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakika unawaweka kwenye udongo unaoteleza.+Umewafanya waanguke kwenye uharibifu.+ Methali 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+ lakini wale wanaozoea kutenda mambo yenye kuumiza wataharibiwa.+
29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+ lakini wale wanaozoea kutenda mambo yenye kuumiza wataharibiwa.+