Zaburi 41:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa jambo hili ninajua kwamba umependezwa nami,Kwa sababu adui yangu hapigi kelele za ushindi juu yangu.+ Zaburi 84:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wataendelea kutembea kutoka nguvu hata nguvu;+Kila mmoja huonekana mbele za Mungu katika Sayuni.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+ Isaya 40:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+ Wafilipi 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa mambo yote nina nguvu kupitia yeye anayenipa nguvu.+
11 Kwa jambo hili ninajua kwamba umependezwa nami,Kwa sababu adui yangu hapigi kelele za ushindi juu yangu.+
31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+