Zaburi 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wala hujanitia mkononi mwa adui.+Umeisimamisha miguu yangu mahali penye nafasi tele.+ Zaburi 124:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na abarikiwe Yehova, ambaye hakututoa+Tuwe mawindo kwa meno yao.+ Yeremia 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwimbieni Yehova! Msifuni Yehova! Kwa maana ameikomboa nafsi ya maskini kutoka mkononi mwa watenda-maovu.+
13 Mwimbieni Yehova! Msifuni Yehova! Kwa maana ameikomboa nafsi ya maskini kutoka mkononi mwa watenda-maovu.+