Zaburi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninapoita, unijibu, Ee Mungu wangu mwadilifu.+Katika taabu unifanyie nafasi panaNionyeshe kibali+ na kuisikia sala yangu. Zaburi 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+
4 Ninapoita, unijibu, Ee Mungu wangu mwadilifu.+Katika taabu unifanyie nafasi panaNionyeshe kibali+ na kuisikia sala yangu.
19 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+