Zaburi 35:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini nafsi yangu mwenyewe na iwe na shangwe katika Yehova;+Na ishangilie katika wokovu wake.+ Zaburi 109:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana yeye atasimama kwenye mkono wa kuume wa maskini,+Ili amwokoe kutoka kwa wale wanaoihukumu nafsi yake.
31 Kwa maana yeye atasimama kwenye mkono wa kuume wa maskini,+Ili amwokoe kutoka kwa wale wanaoihukumu nafsi yake.