Zaburi 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nimemweka Yehova mbele yangu daima.+Kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume, sitatikiswa.+ Zaburi 72:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ahukumu wenye kuteseka katikati ya watu,+Na awaokoe wana wa maskini,Na amponde mpunjaji. Zaburi 110:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova mwenyewe akiwa upande wako wa mkono wa kuume+Hakika atawavunja vipande-vipande wafalme katika siku ya hasira yake.+ Zaburi 121:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anakulinda.+Yehova ni kivuli chako+ kwenye mkono wako wa kuume.+
5 Yehova mwenyewe akiwa upande wako wa mkono wa kuume+Hakika atawavunja vipande-vipande wafalme katika siku ya hasira yake.+