Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+

      Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+

      Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+

  • Ezekieli 38:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “ ‘Na itatukia katika siku hiyo, katika siku ambayo Gogu atakuja juu ya nchi ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwamba ghadhabu yangu itapanda puani mwangu.+

  • Waroma 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+

  • Ufunuo 11:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini mataifa wakawa na ghadhabu, nayo ghadhabu yako mwenyewe ikaja, na wakati uliowekwa kwa ajili ya kuhukumiwa kwa wafu, na kuwapa thawabu+ watumwa wako manabii+ na watakatifu na wale wanaoliogopa jina lako, wadogo kwa wakubwa,+ na kuwaharibu+ wale wanaoiharibu dunia.”+

  • Ufunuo 19:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nikamwona yule mnyama-mwitu+ na wafalme+ wa dunia na majeshi yao wamekusanyika pamoja ili kupigana vita+ na yule anayeketi juu ya farasi+ na jeshi lake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki