Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+

  • Yeremia 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Amepanda kama simba kutoka katika kichaka chake,+ na yule anayeyaangamiza mataifa ameondoka;+ ametoka mahali pake ili kuifanya nchi yako kuwa kitu cha kushangaza. Majiji yako yatabomoka hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+

  • Yeremia 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mika+ wa Moreshethi+ alikuwa akitoa unabii katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda+ naye akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Sayuni utalimwa kama shamba,+ na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa ile Nyumba utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.”’+

  • Mika 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi kwa sababu yenu Sayuni utalimwa kama shamba, na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa nyumba hiyo utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki