Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Katika siku zake Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akapanda, na kwa hiyo Yehoyakimu akawa mtumishi+ wake kwa miaka mitatu. Hata hivyo, yeye aligeuka na kumwasi.

  • 2 Wafalme 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tisa+ wa kuwa kwake mfalme, katika mwezi wa kumi,+ siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akaja,+ ndiyo, yeye pamoja na jeshi lake lote, juu ya Yerusalemu, akaanza kupiga kambi juu yake na kujenga juu yake ukuta wa kulizingira pande zote.+

  • Yeremia 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndiyo sababu simba kutoka msituni amewashambulia, mbwa-mwitu wa nchi tambarare za jangwani anaendelea kuwapora,+ chui anakaa macho kwenye majiji yao.+ Kila mtu anayetoka humo anararuliwa vipande-vipande. Kwa maana makosa yao yamekuwa mengi; matendo yao ya kukosa uaminifu yamekuwa mengi sana.+

  • Yeremia 50:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki