6 Watu wangu wamekuwa kundi la viumbe vinavyoangamia.+ Wachungaji wao wamewafanya waende huku na huku.+ Wamewapeleka juu ya milima.+ Wameenda kutoka mlima mpaka kilima. Wamepasahau mahali pao pa kupumzika.+
5 Nao wakatawanyika hatua kwa hatua kwa sababu hapakuwa na mchungaji,+ hivi kwamba wakawa chakula cha kila mnyama wa mwituni, nao wakaendelea kutawanyika.+