Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!”+ asema Yehova.

  • Yeremia 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Watu wangu wamekuwa kundi la viumbe vinavyoangamia.+ Wachungaji wao wamewafanya waende huku na huku.+ Wamewapeleka juu ya milima.+ Wameenda kutoka mlima mpaka kilima. Wamepasahau mahali pao pa kupumzika.+

  • Ezekieli 34:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao wakatawanyika hatua kwa hatua kwa sababu hapakuwa na mchungaji,+ hivi kwamba wakawa chakula cha kila mnyama wa mwituni, nao wakaendelea kutawanyika.+

  • Mathayo 9:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Alipouona umati akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa wamechunwa ngozi na kutupwa huku na huku kama kondoo wasio na mchungaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki