Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika+ juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana. Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+

  • Yeremia 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi juu ya wachungaji wanaowachunga watu wangu: “Ninyi mmewatawanya kondoo zangu; nanyi mliendelea kuwatawanya, nanyi hamkuwakazia fikira zenu.”+

      “Tazama, ninakaza fikira zangu juu yenu kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu,”+ asema Yehova.

  • Yeremia 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Watu wangu wamekuwa kundi la viumbe vinavyoangamia.+ Wachungaji wao wamewafanya waende huku na huku.+ Wamewapeleka juu ya milima.+ Wameenda kutoka mlima mpaka kilima. Wamepasahau mahali pao pa kupumzika.+

  • Mathayo 9:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Alipouona umati akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa wamechunwa ngozi na kutupwa huku na huku kama kondoo wasio na mchungaji.+

  • Marko 6:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Basi, aliposhuka, akaona umati mkubwa, lakini akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.+ Naye akaanza kuwafundisha mambo mengi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki